Search This Blog

Monday, May 13, 2019

MRADI WA ENEO LA UKANDA MAALUMU LA UCHUMI BAGAMOYO.(BAGAMOYO SPECIAL ECONOMIC ZONE PROJECT)

Kwanza kabisa ni vema ikaeleweka kwamba mradi ambao wawekezaji kutoka China na Oman walikuwa tayari kuutekeleza unajulikana kama Bagamoyo Special Economic Zone- kwa kiswahili - Eneo la Ukanda Maalum wa Uchumi Bagamoyo. Ujenzi wa Bandari- ni moja ya component Nne za Mradi huo mkubwa. Component nyingine za mradi ni ujenzi wa eneo la viwanda (industrial park) ambalo katika awamu ya kwanza litakuwa na viwanda 190 vitakavyozalisha ajira mpya za moja kwa moja 20,000 na awamu ya pili na tatu ikikamilika kutakuwa na viwanda 790- zitakazozalisha ajira mpya 100,000. 

Component ya tatu ni ujenzi wa mji wa kasisasa wa makazi unaonendana na mahitaji ya karne ya 21. Ujenzi wa mji huu utasaidia kupunguza msongamano wa jiji la Dar es saalaam kwani shughuli nyingi za uchumi zitakazotokana na Bagamoyo Speciam Economic Zone zitapelekea watu wengi kuhamia kutoka Dar es salaam kwenye mji mpya.

Component ya nne ni logistics Park ambayo itafanya bagamoyo kuwa kitovu cha usaifirishaji wa mizigo na hivyo kuimarisha Tanzania kama transit route ya mizigo inayotoka na kuingia kwenda sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi- hii logistic park ndio ita handle transshipment kutoka Afrika kwenda Ulaya na Marekani


Concept ya mradi huo imefanana na concept ya mradi wa Shenzen- Special Economic Zone ambayo Kampuni inayotaka kuwekeza Bagamoyo ilikuwa mojawapo ya kampuni zilizowekeza

Bahati mbaya watu wengi wanajikita kuzungumzia bandari na huenda hata maamuzi ya kuukata mradi yamefanyika kwa kuzingatia component moja tu ya bandari na wameacha kufikiria manufaa makubwa ya ajira hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wa Tanzania wanamaliza shule bila matumaini ya kuajiriwa.

Mradi huo mkubwa umekuwa gumzo sehemu mbalimbali ulimwenguni kutokana na ukubwa wake pamoja na athari zake kwa maslahi ya makundi mbalimbali ulimwenguni.

Kwa mataifa ya Magharibi mradi huo ulikuwa tishio kwa consideration za ushindani na ushawishi ndani ya ukanda wa bahari ya Hindi ambao unabashiriwa kuwa kitovu muhimu katika bishara ya kimataifa katika miaka michache ijayo. Wazungu waliuona mradi huo utaipa China nguvu kubwa zaidi ya kiuchumi.

Kwa mataifa mengine kama Afrika ya Kusini - mradi huo ulikuwa tishio kwa maslahi yao ya kiuchumi kwakuwa ungepelekea ushindani mkubwa kwa Biashara ya Bandari ya Durban ambao hivi sasa ndio kuna bandari pekee zenye uwezo wa kuhandle 4th generation ships.

Kwa Kenya, mradi wa Bagamoyo ulikuwa ni tishio kubwa kwa mradi wa Bandari mpya wanayopanga kuijenga huko LAMU ambayo itakuwa na uwezo wa kuhandle 4th generation ships na pia itakuwa na kitovu cha usafirishaji wa mafuta barani Afrika

Benki ya Dunia - nayo imekuwa negative juu ya mradi huo - na imetumia  influence yake kwa Serikali kutokana na misaada na mikopo ambayo inaipatia Tanzania, kupenyeza ushawishi wa kuupinga mradi. Inafahamika Benki ya Dunia ni chombo kinachotumika na mataifa ya magharibi kutingisha serikali za Afrika pale zinapokiuka interest za wakubwa. Tumeona jinsi walivyoibana serikali kutizama
Upya baaadhi ya sheria zake mpya ili iweze kutoa ahadi za mikopo.  Hoja waliyotoka nayo kupinga mradi wa Bagamoyo ni kwamba - kwakuwa wao wameipa Serikali mkopo wa maboresho ya bandari ya Dar es salaaam- endapo mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone utatekelezwa, utaleta ushindani kwa Bandari ya Dar es salaam na hivyo kushindwa kulipa mkopo.

Makundi haya matatu yalikuwa  na common interest ya kuhakikisha kwamba Mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone hautekelezwi. Imetumika nguvu kubwa ya ushawishi kwa kutumia propaganda za vyombo vya habari; economic intelligence; political influence & scare mongering techniques kuhakikisha mradi huu hausimami. Kazi waliyoifanya kwa mafanikio makubwa.

Ni vizuri kuzichambua hoja zinazotolewa dhidi ya mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone ili kuona kama kuna mantiki.

Hofu ya Serikali kupoteza mapato kutokana na ushindani wa Bandari ya Bagamoyo

Ukiangalia kwa juu juu hoja hiyo ina mantiki. Kwamba kutakuwa na ushindani na Dar es salaam itapoteza mapato. Lakini yapo mambo matatu yanayothibitisha kwamba hoja hiyo sio sahihi.

1) Bandari ya Bagamoyo itahudumua meli kubwa (4th generation ships) ambazo hivi sasa haziwezi kuingia katika bandari ya Dar es salaam.  Katika biashara ya kimataifa hivi sasa, usafirishaji kwa kutumia meli kubwa ndio wenye tija, unafuu na faida. Kwa mfano leo hii kusafirisha bidhaa X kutoka Tanzania hadi China au Marekani  kwa kutumia meli ndogo inagharimu mara mbili ya gharama ya usafirishaji kwa meli kubwa. Kutokuwa na uwezo wa ku handle meli kubwa kumefanya gharama za usafirishaji wa bidhaa kutoka Nchi zetu kwenda kwenye masoko kuwa kubwa (uncompetitive). Ndio maana leo hii nchi za Latin America ambazo zipo mbali kabisa na China, zinauza bidhaa zake nyingi katika soko la China kuliko nchi za Afrika ambazo zipo karibu na China kijiografia. Mfano halisi umetokea majuzi- Marekani ilipoanza vita ya biashara na China kwa kuongeza kodi katika bidhaa za China, in response China waliongeza kodi kwa maharage ya soya kutoka Marekani. Ikumbukwe kwamba biashara ya soya ni kubwa sana kwa Marekani- kila mwaka wanauza soya ya thamani ya Usd 35 Billion na zaidi kwa China. Hivyo kitendo cha China kuongeza kodi, gharama za soya zikapanda na hivyo wanunuzi wa soya kutoka China walitafuta altenative source ya soya- badala ya kuja Afrika, walikwenda Latin Amerika- moja ya sababu ya kwenda kule pamoja na mambo mengine ni uwepo wa bandari zenye uwezo wa kuhandle meli kubwa ambazo ni nafuu katika usafirishaji. Afrika imekosa fursa ya biashara kubwa sababu hiyo.

2) Uwepo wa bandari kubwa katika eneo moja huongeza wingi wa shughuli za usafirishaji wa mzigo kutoka kwenye bandari kubwa kwenda kwenye bandari ndogo. Mzigo mkubwa ambao ungeshushwa Bagamoyo ungetengeneza fursa ya biashara kwa meli ndogo na za kati kuuchukua Bagamoyo na kuupeleka kwenye bandari za jirani za Dar, Tanga, Mombassa, Beira nk 

3) Ni vizuri pia kujiuliza hicho tunachoki protect (Katika Bandari ya Dar) manufaa yake ni zaidi ya manufaa tutakayopata katika Mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone? Hivi sasa hivi Bandari ya Dar es salaam inaajiri watu wangapi? Baada ya upanuzi utakaofanywa ajira ngapi zitaongezeka?  Ukweli ni kwamba kwa teknolojia za karne ya 21 shughuli za bandari zipo digitalized sana kiasi kwamba ile asili ya kuzalisha ajira nyingi haipo tena. Hivyo kwa vyovyote vile ajira mpya zitakazozalishwa baada ya kumalizika upanuzi hazitozidi 1000. Kwa upande mwingine, ajira zitakazozalishwa kwenye mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone- katika awamu ya kwanza tu ni 20,000. Je faida ipi wapi?

Kwa upande wa mapato (direct income) kwa Bandari ya Dar es salaam- serikali inapata kiasi gani? Kwa vyovyote vile mapato ya jumla ambayo serikali itakayapata katika mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone yatakuwa ni makubwa zaidi- kwani mbali na mapato itakayopata katika component ya bandari kwa njia ya Whaphage charges; import duties kwa bidhaa nyingi zitakazopitia katika bandari hiyo- serikali itapata kodi za aina mbalimbali katika viwanda 190 na baadyad 790 vitakavyojengwa. Watumishi 20,000 tu pay as you earn yao itakuwa ni kiasi kikubwa cha uhakika kwa serikali. Achilia mbali multiplier effects zitokanazo na shughuli za viwanda. Katika mji mpya utakaojengwa Serikali itapata kodi za majengo na kodi nyingine zitokanazo na ardhi na pango... achilia mbali kodi za shughuli nyingine za biashara zitakazofanyika Bagamoyo.

Hoja nyingine inayotolewa ni kwamba kumpa mgeni aendeshe bandari ni hatari kwa usalama wa nchi. Hapa cha kujiuliza- ndani ya Bandari ya Dar es salaam kuna kampuni ya Nje TICTS imeendesha shughuli zake ndani ya bandari kwa miaka 20 na zaidi - ni usalama upi umeathirika? 

Inapokuja kwa hoja za kiusalama, China inamahusiano ya karibu sana ya kijeshi na Tanzania. Kila leo tumeona vikifunguliwa vyuo, viwanja vya ndege nk kwa msaada wa China. Wanajeshi wengi wa Tanzania wamepata mafunzo China na vifaa vingi vya kivita vimetoka China. Ni jambo la kawaida kukuta gari yenye number za JWTz ndani yake kuna askari wa Tanzania na China... sasa kwa ukaribu huo wa kihistoria tangu JWTZ ilipoanzishwa baada ya kuvunja jeshi lenye asili ya kikoloni lililojaribu kufanya mapinduzi miaka ya 60, leo hii sisi ndio watu wa kuhofia usalama dhidi ya Wachina?

Hoja nyingine inayozungushwa ni kwamba eti Wachina watanya'ngyanya mali za taifa endapo mradi huo utapata hasara kama ilivyokuwa kwa mradi wa Bandari wa Sri Lanka. Ukweli ni kwamba mradi wa Bagamoyo sio sawa na mradi wa Sri Lanka au mradi wa ujenzi wa Reli ya Kenya. Tofauti na miradi hiyo miwili ya Kenya na Sri Lanka, mradi wa Bagamoyo unatekelezwa kwa njia ya uwekezaji kwa asilimia 100- wakati ile miradi ya Kenya na Sri Lanka inatekelezwa kwa mikopo ambayo nchi inawajibu wa kuweka dhamana (sovereign guarantee). Maana yake nini? Hata kama mradi wa Bagamoyo utapata hasara, atakayeumia  ni mwekezaji na sio Serikali. Lakini kwa uzoefu wa  kampuni ya China Merchant katika uwekezaji wa miradi mikubwa ya aina hii, haiwezekani wakafanya uamuzi wa kuwekeza mradi wa kupata hasara kirahisi namna hiyo. Ikumbukwe kwamba kampuni ya China Merchant ina uwezo wake kimtaji unaofikia mara 20 ya GDP ya Tanzania.


Hoja nyingine inayosemwa eti masharti ya kuendesha mradi wa bagamoyo ni magumu. Hivi mahala ambapo watu wanazungumza- kila upande una wajibu wa kuja na mapendekezo yake (proposal) na upande wa pili una haki ya kuja na counterproposal. Kuweka mpira kwapani sio njia sahihi.  Kama serikali iliweza kwenda extra mile kuvutia mradi wa Bomba la Mafuta la Uganda kwa kutoa vivutio maalum vilivyopelekea hadi kufanyika mabadiliko ya sheria Bungeni- under miscleneous ammendment? iweje ishindwe kufanya hivyo kwa Mradi wa Bagamoyo?  Kwa faida za ajira na kodi zinazokuja na mradi wa Bagamoyo kwa hakika zinazidi faida za mradi wa bomba la mafuta ambalo sehemu kubwa ya ajira zake zitatokea wakati wa ujenzi wa bomba lenyewe na likishakamilika ajira zitapungua kwa asilimia 80.

Ukiachilia faida za moja kwa moja zilizotajwa kuhusu mradi wa Bagamoyo, ni wazi kwamba ujenzi wa mradi huo pia utasaidia kuufanya mradi wa reli ya Kati ya Standard Gauge kupata idadi kubwa ya mizigo ya kusafirisha ili uweze kurejesha mikopo iliyochukuliwa kwa ajili ya ujenzi wa reli hiyo.


Kwa ujumla na vyovyote iwavyo, faida za mradi wa Bagamoyo Special Economic Zone ni kubwa kuliko madhara tunayodhani tunayaepuka

Friday, April 26, 2019

RIPOTI YA CAG KUHUSU SARE ZA JESHI, UKURASA No 310

Ripoti ya CAG kuhusu sare za Jeshi ,Kurasa No. 310

Moja ya maelezo ya CAG.


" Kukosekana kwa nyaraka za kuthibitisha uletaji wa mzigo. Niliomba Hati ya kupokelea Shehena ya Mzigo Bandarini (Bill of Lading), Hati ya Madai kutoka kwa Mtengenezaji (Commercial Invoice), Hati ya Mzigo ulipotoka (Certificate of Origin), orodha za mali zilizopo kwenye meli (Packing List) na cheti cha ukaguzi wa bidhaa (Inspection Certificate) kutoka kwa Mzabuni Daissy General Traders kwa ajili ya kujiridhisha kama bidhaa husika zililetwa nchini. Hata hivyo, Mzabuni alishindwa kuwasilisha nyaraka hizo.

 Aidha, nilipitia Mfumo wa Forodha (TANCIS)
wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na kubaini kuwa hapakuwa na shehena yoyote kutoka kwa Mzabuni Daissy General Traders mwezi Novemba 2015. d) Vilevile, nilifanya mahojiano na Maofisa wa Bohari kuu ya Jeshi la Polisi na kubaini hakukuwa na Sare zozote zilizoletwa na Mzabuni Daisy General Traders mwezi Novemba 2015.  Hivyo, Serikali imepata hasara kubwa kwa kufanya malipo ya Sare za Polisi ambazo hazikuletwa na Mzabuni. Kuhusu suala hili, nashauri Mzabuni Daissy General Traders arejeshe kiasi alicholipwa kwa kutoleta Sare za Polisi na hatua stahiki za kinidhamu na kisheria zichukuliwe kwa Maofisa wote wa Jeshi la Polisi kwa kuisababishia Serikali hasara. "

SIKU YA HASARA(DAY OF LOSS)

" DAY OF LOSS"
     ---SIKU YA HASARA---

1) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiuwawawa ( state death).

2. Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo wazanzibar walipoteza mamlaka ( sovereignty) ya nchi yao.

3).Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza uraia ( citizenship) wao wa Zanzibar.

4). Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar alikoma ( cease) kuwa Amiri Jeshi Mkuu.

5) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wanzanzibar walipoteza kiti chao Umoja wa MATAIFA.

--ZANZIBAR IMETOKA KUWA DOLA HADI KUWA MKOA--

-- UZANZIBAR UMETOKA KATIKA HADHI YA URAIA HADI KUWA UKAAZI ( Raia wa Zanzibar hadi Mzanzibari mkaazi)

--Kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi Kamanda Mkuu wa Idara maalumu--

-- Kutoka Rais wa Dola ya Zanzibar hadi Waziri asiye na Wizara maalumu--

--ZANZIBAR kutoka mwanachama wa Umoja wa Mataifa kukataliwa kujiunga na FIFA

TAREHE 24/4/1964 ni SIKU YA HASARA (DAY OF LOSS) KWA WAZANZIBAR

HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAIFA WAO WA ZANZIBAR

HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOCHEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA DOLA YAO JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR

HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA URAIA WAO WA ZANZIBAR

HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAMBULISHO WA DOLA YAO


HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KILICHOWEZA--KINACHOWEZA AU KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIYOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/4/1964


SIKU YA MAOMBOLEZI

NCHI TAKATIFU (HOLLY LAND)

Nchi Takatifu ( Holly Land)

Kabla hujawa kama ulivyo tunaambiwa alikuwepo Mungu tu au kwa jina unaloweza kumwita kwa mazoea yako. Mungu ndiye Baba wa wote, aliye juu ya yote, aliye katika yote, na ndani ya yote. Bila yeye hakuna kinachokuwa kama kilivyo. Imeandikwa alifinyanga udongo na kupuliza ndani yake roho wa uhai, kisha binadamu akawa nafsi hai. Mungu aliye roho anaingia katika nyumba aliyoifinyanga mwenyewe. Tukiondoa roho wa Mungu aletaye uhai ndani yako wewe ni nchi, wewe ni udongo.  Kwa Mungu aliye mtakatifu sana kuamua kuacha utukufu wake na kujihengea nyumba ya udongo na kisha kukaa huko, wewe umefanyika nchi Takatifu ( Holly Land), give thanks to God. Mpe utukufu Mungu wewe ni wa kipekee you are gods na kati yenu hakuna aliye zaidi ya mwingine.

Acha kuheshimu au kuhangaika kutafuta nchi takatifu, wewe ndiye nchi takatifu. Acha kutafuta mahala patakatifu pa kuhiji wewe ndiye mahala penyewe alipopachagua Mungu.. hiji ndani yako na endelea kumtolea Mungu Dhabihu za shukrani. Utu wako ndiyo maskani yake Mungu ambayo yanapendeza kama nini? Je unayatamani makao ya Bwana? Ingia rohoni mwako kutana Naye maana imeandikwa je hamjui kwamba ninyi ni hekalu la roho mtakatifu. Mungu ni roho na ajili yake wewe upo na kwa njia yake ukafanyika kuwa kama ulivyo. Wewe ni maskani matakatifu ya Mungu mwenyewe. Acha kukimbiakimbia kumtafuta kule na kule, yeye yupo ndani ya nyumba udongo ambayo ni wewe hapo. Jifunze kumtafuta ndani yako, yupo na hayupo mbali.

Wewe ndiye Taifa takatifu la Mungu na maskani halisi ya Mungu. Wewe ndiye Mungu aliyevaa mwili unaokufa, mwili unaochakaa, na mwenye kusambaratika. Wewe ni taifa la Mungu, ndani yako ni makao halisi ya Mungu. Ukitambua hilo utaanza kuwa huru na mafundisho ya yuko kule Arusha, Abuja, Mwanza, Mwenge au popote, wewe ndiye maskani yake mtazame  kisha anza kufurahi pamoja naye. Anakupenda. Acha kutafuta fedha nyingi kumwendea Jerusalem au Oman au popote, huko hayuko bali huyo unayemsafirisha na anayeusafirisha mwili wako mpaka huko ndiye. Yupo ndani yako. Wewe ni Taifa takatifu, tambua hivyo na shangilia wewe si mnyonge hivyo usiruhusu unyonge tena.

NCHI TAKATIFU (HOLLY LAND)

Nchi Takatifu ( Holly Land)

Kabla hujawa kama ulivyo tunaambiwa alikuwepo Mungu tu au kwa jina unaloweza kumwita kwa mazoea yako. Mungu ndiye Baba wa wote, aliye juu ya yote, aliye katika yote, na ndani ya yote. Bila yeye hakuna kinachokuwa kama kilivyo. Imeandikwa alifinyanga udongo na kupuliza ndani yake roho wa uhai, kisha binadamu akawa nafsi hai. Mungu aliye roho anaingia katika nyumba aliyoifinyanga mwenyewe. Tukiondoa roho wa Mungu aletaye uhai ndani yako wewe ni nchi, wewe ni udongo.  Kwa Mungu aliye mtakatifu sana kuamua kuacha utukufu wake na kujihengea nyumba ya udongo na kisha kukaa huko, wewe umefanyika nchi Takatifu ( Holly Land), give thanks to God. Mpe utukufu Mungu wewe ni wa kipekee you are gods na kati yenu hakuna aliye zaidi ya mwingine.

Acha kuheshimu au kuhangaika kutafuta nchi takatifu, wewe ndiye nchi takatifu. Acha kutafuta mahala patakatifu pa kuhiji wewe ndiye mahala penyewe alipopachagua Mungu.. hiji ndani yako na endelea kumtolea Mungu Dhabihu za shukrani. Utu wako ndiyo maskani yake Mungu ambayo yanapendeza kama nini? Je unayatamani makao ya Bwana? Ingia rohoni mwako kutana Naye maana imeandikwa je hamjui kwamba ninyi ni hekalu la roho mtakatifu. Mungu ni roho na ajili yake wewe upo na kwa njia yake ukafanyika kuwa kama ulivyo. Wewe ni maskani matakatifu ya Mungu mwenyewe. Acha kukimbiakimbia kumtafuta kule na kule, yeye yupo ndani ya nyumba udongo ambayo ni wewe hapo. Jifunze kumtafuta ndani yako, yupo na hayupo mbali.

Wewe ndiye Taifa takatifu la Mungu na maskani halisi ya Mungu. Wewe ndiye Mungu aliyevaa mwili unaokufa, mwili unaochakaa, na mwenye kusambaratika. Wewe ni taifa la Mungu, ndani yako ni makao halisi ya Mungu. Ukitambua hilo utaanza kuwa huru na mafundisho ya yuko kule Arusha, Abuja, Mwanza, Mwenge au popote, wewe ndiye maskani yake mtazame  kisha anza kufurahi pamoja naye. Anakupenda. Acha kutafuta fedha nyingi kumwendea Jerusalem au Oman au popote, huko hayuko bali huyo unayemsafirisha na anayeusafirisha mwili wako mpaka huko ndiye. Yupo ndani yako. Wewe ni Taifa takatifu, tambua hivyo na shangilia wewe si mnyonge hivyo usiruhusu unyonge tena.

Kimbunga Kenneth( Rainstorms)

JINSI YA KUJIOKOA NA KIMBUNGA (RAINSTORMS)

Kama tulivyokwisha sikia kwenye chombo chetu cha Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania kuna maeneo ambayo yatakumbwa na kimbunga kilichopewa jina Keneth mapema kuanzia siku ya kesho japo hatujajuwa muda rasmi lakini kinaweza kikawasili hata kuanzia leo usiku.

Tumeona ni jambo jema ku share nanyi jambo hili ili kuokoa maisha na kupunguza madhara yatakayo jitokeza kule kwa wenzetu kusini mwa Tanzania.

Kiukweli kwa mazingira na hali ya kimaisha kwa sisi waTanzania sio rahisi kujikoa na majanga haya ya vimbunga kutokana na aina ya nyumba zetu pamoja na kukosa mazingira au maeneo ya Emergency kwa matukio kama haya au kuhama kwa muda.

JINSI YA KUJIOKOA

Zaidi ya kuhama eneo la tukio Huwezi kuzuia kimbunga hata siku moja na madhara yake huwa ni makubwa sana lakini vipo vitu vichache sana ambavyo ukivifuata vinaweza kukupunguzia madhara ki mwili.

Kimbunga kitawasili na Mvua kali sana yenye upepo mkali kwahivyo baada ya  kuona hivyo fuata mambo haya yafuatayo.

1. Kitu cha kwanza usi panic tuliza moyo wako na usiwe na Papara na pia punguza woga.

2. Funga milango yote ya nyumba yako pamoja na madirisha yote usiache wazi hata sehemu moja.

3. Usikae karibu na Madirisha au Milango kwasababu maeneo hayo hayatakuwa si salama kipindi upepo huo mkali unapita.

4. Tunashauri wazazi mkae karibu na watoto wenu kipindi chote ambacho upepo utakuwa unapita.

5. Kama unaishi kwenye nyumba ambayo unahisi haitaweza kuhimili upepo mkali kwa siku ya leo omba hifadhi kwenye nyumba ambayo kuna uwezekano ikahimili upepo mkali.

6. Kuna uwezekano upepo ukaona umeizidi nyumba yako na sasa unataka kuangusha nyumba. Usitoke na kukimbia hovyo. Wewe na watu wako ingieni chini ya kitu kigumu kama vile meza kwasababu utakapo toka nje huku upepo mkali ukiwa unavuma madhara yake huenda yakawa makubwa kwasababu upepo utapeperusha Mabati, miti na vitu vingine ambavyo vikikukuta vinawedha kuleta madhara makubwa.

7. Kuna uwezekano kimbunga kikaleta maji mengi sana na kuanza kujaa ndani. Ikitokea hali hii basi mtalazimika kutoka ndani kwa usalama. Shikaneni mikono na hakikisheni mnatembea pembezo pembezo msitembee maeneo ya wazi kutokana na vitu vitavyokuwa vinapeperushwa vikiwakuta itakuwa ni madhara makubwa. Tembeeni kwa usalama na kwa haraka muwahi sehemu ambayo mtaona itakuwa na usalama.

8. Kama kimbunga kitajaza maji mengi basi ni vema yakaandaliwa madumu matupu kisha yafungwe vizuri yasipitishe hewa yatasaidia kuelea kwa wale ambao watakuwa hawajiwezi kwa kuogelea haswa watoto na wazee.

Mambo hayo kadhaa nimejaribu kupitia katika website mbalimbali kusoma kisha kuwaleteeni hapa.

Kusoma kwa undani zaidi kuhusu kumbunga hiki bonyeza Link hiyo hapo chini.

https://bbc.in/2ZvoKEn

OMBI

Tunaomba ku share post hii mara nyingi uwezavyo iwafikie wale wote watakaoweza kuiona kwasababu madhara ya kimbunga IDAI kilicho tokea nchi za jirani kusini mwa Tanzania  wiki kadhaa zilizopita yalikuwa ni makubwa saana na tuliondokewa na ndugu zetu 960 na zaidi Hakuna mtu aliejuwa kuwa madhara yatakuwa makubwa kiasi kile na mpaka sasa Takribani watu Milioni 3 bado wanahitaji misaada ya kibiinaadamu

Unakaribishwa kuchangia chochote kile kwenye comment kwaajili ya ushauri kwa wenzetu ambao watakumbwa na Janga hilo.

Monday, January 28, 2019

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI.

_*KUTOKA JESHI LA POLICE:*_
_*USALAMA WA MAISHA YAKO*_
☆ _*Usinunue simu za Android kwa mtu usiyemjua*. Hiyo ni hatari kwani hujui huyo jamaa kaitoa wapi, mwisho wa siku unapewa kesi ya wizi au mauaji._ _Inawezekana simu hiyo iliibiwa kwa mtu aliyeuawa._
  ☆ _*Usimpe mtu usiyemjua* simu yako apige sehemu yoyote._
  _*Unapoiona line njiani ipo chini*, usitake kuiokota na kuiweka simuni mwako ujue ina shilingi ngapi ili uchukue salio._
☆ _*Simu inapoibiwa* au_
_mwenye simu kuuawa, line hutupwa, unapoiweka simuni mwako,simuyako inahusishwa na tukio hilo_
☆ _*Unapoweka salio,* hakikisha karatasi ya vocha unaichana. Unapoitupa, watu wanaweza kufanya mauaji, wakachukua karatasi ya vocha ile na kuweka sehemu ya tukio au pale ulipoitupa kukatokea tukio na wewe kuhusishwa._
 ☆  _*Usikubali kumsajilia mtu line* yake kwa jina lako, hata kama baba yako, usikubali._
☆ _*Kumbuka namba yako umesajiliwa*, moja ya matukio hayo yakitokea na namba yako kuonekana, moja kwa moja unakuwa mtuhu-miwa namba moja._
☆ _*Wengi wamepewa kesi za mauaji*, wizi bila kujua. Polisi wapo kazini, wanapoona vidhibiti wanakuchukua kwani hawatojua kama umehusika au la. Kuweni makini ili usije kuingia matatizoni, simu yako, fedha zako, ukifanya kisicho sahihi kama uzembe, utaishia pabaya._
Kutoka Cyber Crimes
_*SIMU YAKO JEMBE LAKO*_ 🙏🏼
_*SHARE UJUMBE HUU UMPE ONYO NA MWENZAKO.*_

Monday, February 11, 2013


$550m lost in raw cashew nut sales

11th February 2013


Agriculture Non Sector Actors Forum (ANSAF)
 At least US$ 550m was lost by the country between 2008 and last year, equivalent to US$ 110m annually, due to low levels of value addition for the cashew nut crop.
Agriculture Non Sector Actors Forum (ANSAF) said this during a meeting with Members of the Parliamentary Committee on agriculture, livestock and water in Dodoma last Friday.
According to the research report commissioned by ANSAF, the country’s cashew nut sector has over the years failed to perform to its potential, which if harnessed can help create over 45,000 jobs in the country and make a significant contribution to the economy.
Through the single marketing approach and opaque auctioning system, the sales prices and analysis is also opaque. Ultimately, the payment farmers receive is diluted, due to the high level of costs at the cooperative union and warehouse level. 
Audax Rukonge, the ANSAF Executive Secretary said the research revealed that the cashew sector is the most regulated in the world, and yet Tanzania remains largely a producer of raw cashew nuts for processing in Asia.
According to Rukonge the constraints in processing cashew nuts in Tanzania largely arise from the economic environment, structure and regulation of the sector in Tanzania. 
“We cannot transform agriculture when the farmer is receiving between 57% and 65% of the sale price and approximately 15% less than the Cashewnut Board of Tanzania (CBT). This does not motivate farmers to tend their crop,” says Rukonge.
CBT was urged to ensure the sector is well coordinated, principles of cooperatives adhered to and all the decisions regarding marketing to be based on clear information that is widely shared.
Although MPs were advising the government to recover the privatised processing industries, ownershave not renovated them, Rukonge said, adding: “You do not have to encourage people to take loans and reinvest in a very old technology. That cost will never be recovered,” he said, adding that the private sector should be encouraged to invest in new processing plants.
Possible incentives could include working with financial institutions to lower interest rates for purchase of plants; extend repayment periods as well as reduction of taxes on importation of new processing plants.
The committee chairman Prof David Mwakyusa urged ANSAF to work together with the Ministry of Agriculture and Food Security to solve the problems of cashew farmers. 
He said the committee will make sure the findings are forwarded to the government.
Farmers from Mkuranga, Mtwara, Masasi and Lindi said the cashew nut crop is being used for political ends, adding that it is viewed by some as a way of extracting money from the system with farmers as pawns in the game. 
Makaburi Babtista who is a farmer from Mtwara who attended the meeting faulted the cooperatives for serving the interests of a few and that although the warehouse receipt system is good, it is highly politicised.
The institutions charged with management of the sector were not listening to the market, but to short term political factors, especially from local politicians, he said.
“Without a coordinated execution, the sector might continue to be weak and open to overcharging and profiteering. For example, compared to other countries growing cashew nuts in Africa, the crop’s inputs in Tanzania are very expensive,” he said.
Hon Mansoor Sharif, Kwimba MP said farmers have not been benefiting much from the cashew nut farming as the traders buy according to grades 1, 2 and 3, but in India the nuts are all sold as grade one.
“The farmer sells to the trader according to grades, but when they are taken to India they are all accounted for as grade one. I think farmers should be given information concerning the international market to help them set the local price,” he explained  
Last week in parliament the government threatened to revoke permits of all cashew nut buyers, who have been moving around in southern regions buying the produce at 500/- contrary to agreed price of 1,200/- per kilo of grade one cashew nuts, while the grade two sells for 960/-

Chadema calls for pressure to force out Speaker, deputy.
























Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has appealed to lawmakers and the public at large to put pressure on the Speaker of the National Assembly, Anne Makinda, and her deputy, Job Ndugai to resign.
The party has also directed its MPs to no longer walk out of the debating chamber when they felt they unfairly treated on an issue and instead they should seek justice from inside as they did during the last session.
Chadema National Chairman Freeman Mbowe, speaking during the Party’s rally at Mwembeyanga ground in Temeke District, Dar es Salaam yesterday, asked the rally participants, who he said constituted a People’s Court, to rule on whether the party’s MPs should walk out of the debating chamber or stay and fight from inside, when they disagreed with a particular decision. The people advised the lawmakers to stay put in the House.
The rally followed a march from Ubungo to Mwembeyanga by hundreds of supporters and the party’s officials led by the Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa, as a sign to support the opposition legislators.
The various MPs who spoke at the rally said Speaker Makinda and her Deputy Ndugai must go as they have failed to efficiently and fairly guide Parliamentary proceedings.
They said in order to remove them, the Opposition should submit a private motion of no confidence in Parliament while the second method is for the general public to send text messages demanding their resignation.

Friday, January 25, 2013

Mapigano makubwa yazuka Moro, Mtwara

• Polisi, wananchi watwangana

MAPIGANO makubwa yamezuka katika mikoa ya Morogoro na Mtwara kiasi cha kusababisha kifo cha mtu mmoja, Mohamed Msigala (60), na kuharibiwa kwa magari na mali nyingine ikiwemo kuchomwa moto kwa mahakama ya mwanzo.

Mapigano yaliyozuka mkoani Morogoro yamehusisha wakulima wa vijiji vya Msolu, Mbigili, Mambengwa na Mabwegere vilivyoko kata ya Dumila, wilaya ya Kilosa, mkoa wa Morogoro, yakiwaacha mamia ya wanawake na watoto wakiyakimbia makazi yao kwa hofu ya kuuawa.

Mapigano hayo yametokea kati ya wakulima na wafugaji wa vijiji hivyo wanaogombea ardhi, inayodaiwa kuuzwa kinyemele kwa baadhi ya mawaziri waandamizi na wafugaji, huku kukiwa na tishio la kufutwa kwa baadhi ya vijiji.

Mali kadhaa yakiwemo magari yameharibiwa vibaya, ambapo nyumba tano za kulala wageni katika eneo la Dumila zimeshambuliwa, wananchi kupora mali mbalimbali zinazodaiwa kumilikiwa na wafanyabiashara wa jamii ya Kimasai.

Mapema majira ya saa 2:30 asubuhi, mamia ya wananchi hao walifanya maandamano kutoka mwanzo hadi mwisho wa mji huo na kutanda kwenye barabara, kabla ya kuiziba kwa mawe na magogo makubwa na kuchoma matairi.

Kikosi cha polisi cha kutuliza ghasia kililazimika kuingilia kati na kupambana na waandamanaji hao kwa mabomu ya machozi na virungu na kufanikiwa kuwakamata idadi kubwa ya wananchi hao.

Pamoja na barabara hiyo ya Morogoro – Dodoma lakini pia wananchi hao walifunga barabara ya Dumila- Kilosa na hivyo kuyafanya magari yaliyokuwa yakitumia barabara hiyo kusimama kwa muda mrefu.

Habari zinasema kuwa vurugu hizo zimechochewa zaidi baada ya wafugaji wa jamii ya Kimasai kuingiza mifugo kwenye mashamba yenye mazao, lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa licha ya uongozi wa kijiji hadi mkoa kufikishiwa malalamiko hayo.

Mashamba yanayolalamikiwa yako katika eneo la Mabwegere ambalo linadaiwa kuuzwa kwa baadhi ya mawaziri, na hivi karibuni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Elias Tarimo alitangaza kuwa ni mali ya wafugaji jambo ambalo lilipingwa na wakulima.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel Bendera alilazimika kukatisha shughuli zake za Kibunge huko Dodoma na kurejea mkoani Morogoro kuangalia hali ilivyo.

Hata hivyo, akihojiwa kwa njia ya simu, Bendera alionekana kufura akidai kwamba kulikuwa na upotoshaji mwingi uliochangia kutoeleweka vema kwa suala hilo.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Faustine Shilogile, amethibitisha kukamatwa kwa watu kadhaa katika vurugu hizo na kwamba ulinzi umeimarishwa.

Tuhuma za kuhusika kwa baadhi ya mawaziri katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, huku mmojawao akidaiwa kununua hekari 400, zilianikwa mapema mwezi jana, huku mamlaka zikiwa zinataka kufuta hati miliki ya kijiji cha Mabwegere.

Ilielezwa kuwa watu wasiojulikana waliingia kijijini hapo na kuingilia mipaka na kung’oa alama zilizowekwa na serikali licha ya kuamriwa kuwa mahakama itekeleze zoezi hilo baada ya wanakijiji hao kushinda kesi.

Mbali na kung’olewa kwa mipaka hiyo, watu kutoka maeneo mbalimbali waliendelea kuingia katika kijiji Mabwegere kinyume cha utaratibu na kufungua mashamba ambayo yanadaiwa kumaliza maeneo ya malisho ya mifugo iliyomo kijijini humo. Kijiji cha Mabwegere ni cha wafugaji ambacho ndicho kilichoathiriwa zaidi na machafuko.

Kwa mujibu wa barua yao ya malalamiko, wananchi hao walisema kuwa kwa sasa wamepoteza imani na mkuu wa wilaya na mkurugenzi wao kwani walitegemea kuwa migogoro ya ardhi iliyosababishwa na wakulima kujichukulia eneo la wafugaji ingetatuliwa kwa kuzingatia sheria na utawala bora.

Ofisa mtendaji mstaafu wa kijiji hicho, Sadiki Mwibela, alisema kuwa migogoro mikubwa imekuwa ikitokea kati ya wakulima na wafugaji.

“Kwa sasa msimu wa mvua umeanza, machafuko yanaweza kutokea, lakini mimi kwa kuwa nilikuwa nafuatilia haki za wafugaji waliokuwa wanaporwa mifugo yao kwa kuwa tulikataa kuuza eneo letu, nilifukuzwa kazi, nikakamatwa nikapelekwa jela, nilipotoka nikakuta wameweka mtendaji mwingine,” alisema.

Viongozi wengine ambao waliomba wasitajwe gazetini walisema kuwa walilazimishwa na mkuu wa wilaya kwenda ofisini na kuandika muhtasari ili waziri huyo apewe eneo.

Mtwara hakukaliki

Mkoani Mtwara wananchi wamechoma moto mahakama ya mwanzo na kuharibu gari la polisi, kufuatia kuzuka kwa mapigano kati yao jana.

Mapigano hayo yalianza baada ya askari polisi kuwavamia wananchi katika eneo la Sabasaba waliokuwa wamefurika kushuhudia watu wanaoaminika kuwa wachawi walionaswa usiku wakifanya vitendo vya kishirikina.

Mmoja wa wananchi walioshuhudia tukio hilo, amesema kuwa polisi waliokuwa ndani ya gari wakiwa na bunduki, walifika eneo hilo baada ya kupewa taarifa na msamaria mwema kuwa kulikuwa na vurugu za wananchi waliotaka kuwaua watu hao wawili waliokutwa wakifanya vitendo hivyo vya kishirikina.

Hatua hiyo ya polisi, iliwakasirisha wananchi walioamua kujibu mapigo kwa kuwashambulia kwa mawe na kisha kuharibu gari lao na kulazimika kukimbia kusalimisha maisha yao.

Habari zinasema kuwa askari polisi walirudi wakiwa katika magari matatu na ndipo walianza kuwashambulia wananchi popote walipowakuta katika eneo la soko kuu la Mtwara na kuharibu mali.

Wananchi nao waliamua kujikusanya kwa wingi na ndipo yakazuka mapambano mengine makubwa yaliyosababisha kuchomwa moto kwa mahakama hiyo.

Kamanda wa polisi wa mkoa hakuweza kupatikana, kwa vile simu yake ya mkononi ilikuwa haipatikani kwa muda mrefu.

Polisi waonya

Jeshi la polisi nchini, limewataka wananchi kutii sheria bila shuruti, na wasitumie mwanya wa makosa yanayofanywa na baadhi ya askari au wananchi wengine waliovunja sheria kuhalalisha uvunjaji mwingine wa sheria, kwani makosa mawili hayafanyi haki moja.

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso, aliiambia Tanzania Daima Jumamosi kuwa ni jambo baya na la hatari ikiwa sasa wananchi wataamua kuchukua sheria mikononi kuvamia vituo vya polisi na kuua askari, au kuvamia mali za watu.

Senzo amelalamikia vitendo vinavyozidi kushamiri nchini kwa wananchi kuvamia vituo vya polisi, kuchoma moto vituo, au wananchi kuacha kabisa kutii amri halali za jeshi la polisi pindi askari wanapofika katika maeneo yenye fujo.

Alikiri kuwa ndani ya jeshi hilo kuna askari wachache wakorofi ambao sio waadilifu, lakini huo sio mwanya kwa wananchi kuhalalisha, kujeruhi au kuvamia vituo vya polisi.

“Tunakataza uvunjaji wa sheria iwe ni kwa askari au raia, ndio maana inapothibitika kuwa polisi amekosea, anachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria za jeshi,” alisema.

Makachero wavamia vyuo

Katika hatua nyingine watu wanaoaminika kuwa makachero wa serikali, wameingia mkoani Mtwara na sasa inadaiwa wanaendesha uchunguzi wa siri wenye lengo la kuwabaini watu wanaotuhumiwa kuwa vinara wa kupinga ujenzi wa bomba la gesi.

Habari za kuaminika zimesema kuwa makachero hao walianza kuwasili mjini hapa, siku sita zilizopita na wamejizatiti katika baadhi ya taasisi nyeti vikiwemo vyuo vya elimu ya juu, kunakoaminika kuwa moto wa hamasa wa kupinga ujenzi huo umeshika kasi.

Mbali na vyuoni, makachero hao wamekuwa wakiendesha uchunguzi katika ofisi za serikali, kujua ni wafanyakazi gani wanaoshabikia jambo hilo na kwamba watakaobainika watakamatwa na kufunguliwa mashtaka mbalimbali yakiwemo ya uchochezi.

Mangula acheza rafu CHADEMA

MPANGO mchafu wa kukichafua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Iringa umefichuka, huku Makamu Mwenyekiti wa CCM bara, Philipo Mangula akituhumiwa kuratibu harakati hizo.

Habari za kuaminika kutoka ndani ya CCM, zimebainisha kuwa, chama hicho kimechapisha mamia ya kadi za CHADEMA ambazo zimesambazwa kwa watu maalumu walioandaliwa ambao wameambiwa wazirejeshe leo wakati wa mkutano wa hadhara na kumkabidhi Mangula, wakidai wameihama CHADEMA.

Imebainika kuwa, zaidi ya wanafunzi 200 wa Chuo Kikuu kishiriki cha Mkwawa tayari wamekabidhiwa kadi hizo, na fedha za kujikimu ambapo watajitangaza kama wana-CHADEMA waliohamia CCM baada ya kuchoshwa na upinzani katika viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa.

Mbali na kadi, CCM pia imetengeza fulana za CHADEMA walizopewa wanafunzi hao, na kwamba chama hicho kimemwaga maelfu ya fedha kwa wasomi hao kama njia ya kufanikisha mpango huo.

Rais wa serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mkwawa, Mtama Joseph amekiri kusikia taarifa hizo, lakini akadai kuwa kama ni kweli basi, utakuwa ni mpango unaotumika na watu waliopoteza mwelekeo.

“Ni kweli kuna taarifa hizo zimezagaa hapa chuoni kwamba kuna wanafunzi 200 ambao wamepewa sh 5,000 kila mmoja, na kadi zenye nembo ya CHADEMA ili warudishe kwenye mkutano wa CCM utakaofanyika kesho (leo) katika viwanja vya Mwembetogwa,” alisema.

Mtama alisema kama habari hizo ni za kweli, litakuwa jambo la kusikitisha na linaloonesha kuwa watu walioshindwa kufikiri na kuwajibika hutumia mbinu chafu kwa kuwa hawana fikra zingine zaidi ya rushwa.

Mmoja wa vijana wanaodaiwa kutumiwa katika mpango huo (jina limehifadhiwa) amekiri kuwa miongoni mwa viongozi wanaoratibu mpango huo na kwamba yeye na wenzake wameahidiwa sh 500,000 kila mtu pindi watakapofanikisha hujuma hiyo.

Kijana huyo aliyeomba jina lake lisitajwe kwa kuhofia usalama wake, alisema tayari kuna vijana 17 ambao wameandaliwa pamoja na kuratibu, lakini pia kufanya kazi ya kuichafua CHADEMA kwa namna watakavyoelekezwa pindi wakifika mkoani hapa kwa ajili ya mikutano ama shughuli nyingine.

Mbali na hilo, kijana huyo alisema CCM pia imeandaa magari kusomba wanachama wake kutoka vijijini kuletwa katika mkutano wa leo kwa madai ya kutaka ionekane ina wanachama wengi, hivyo kuondokana na aibu ya kukosa watu katika mkutano wake.

Katibu wa CHADEMA Manispaa ya Iringa, Suzan Mgonukulima alisema kuna mbinu chafu zilizobainika kutumika kuhujumu CHADEMA ambazo wananchi wanatakiwa kuwa nazo makini.

Alisema kufichuka kwa siri hizo, ni ishara wazi kuwa watu wanaojitangaza kurudi CCM sio wanachama halisi, bali waigizaji na kuonya kuwa mchezo huo ni ishara ya wazi kuwa sasa serikali inatishiwa na CHADEMA.

Diwani wa Kata ya Mivinjeni, Frank Nyalusi (CHADEMA) ambaye pia ni mjumbe wa kamati tendaji ya wilaya, alisema propaganda za CCM zimepitwa na wakati na kwamba ni dalili za kutapatapa kwa sababu wanajua kuwa mwaka 2015 wanaachia ngazi.

Wabunge CHADEMA waishukia serikali

Jijini Dar es Salaam, wabunge wawili wa CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa (Iringa Mjini) na Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ (Mbeya Mjini) wameufananisha uongozi wa Serikali ya CCM na ule wa kifalme uliofitinika kutokana na mawaziri wake kutofautiana katika maamuzi mbalimbali ya kitaifa.

Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika juzi Mombasa jijini Dar es Salaam, wabunge hao walisema mawaziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete, hawaelewani hali inayoweza kuifanya nchi kuwa katika hatari ya kushindwa kufanya mambo ya maendeleo kwa wakati.

Mchungaji Msigwa, alisema hivi karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Mahusiano), Stephen Wasira aliwaamuru wananchi waendelee kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakati akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria.

Alisema katika hifadhi ya Serengeti kuna mlango unaotumiwa na wanyama na kwamba Wasira akijua sheria hairuhusu kufanya shughuli za kibinadamu katika eneo lolote la uhifadhi aliwahimiza wananchi wajenge nyumba na shughuli za kilimo hadi alipoonywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki.

“Wanasema CHADEMA itakufa wakati wao ndio wanaelekea kuzimu kama huyu Wasira aliyeonywa na Kagasheki juu ya kuhamasisha uvunjifu wa amani katika eneo hilo la Serengeti, lakini ameendelea kupuuza na kusema ni heri afe kuliko kufuata taratibu,” alisema Msigwa.

Akizungumzia ujangili katika mkutano huo, Msigwa alisema serikali inapaswa kupanga mipango madhubuti kukabiliana na hali hiyo badala ya mawaziri wake kutumia muda mwingi kutaka kuihujumu CHADEMA.

Alisema kutokana na udhaifu huo wa Baraza la Mawaziri na hofu ya kuondolewa madarakani ifikapo 2015, wameshindwa kuunganisha nguvu ya pamoja za idara ya ulinzi na usalama hata kufikia baadhi ya watendaji kujiingiza katika matukio ya ujangili kama ilivyotokea hivi karibuni kwa askari wa Jeshi la Wananchi kukutwa akisafirisha pembe za ndovu.

Kwa upande wake, Sugu aliitaka serikali iache kuwahadaa wananchi kwa kutumia nguvu kubwa kuonesha mafanikio ya serikali katika vituo vya runinga wakati wananchi wana hali ngumu ya kimaisha.

“Kama utaangalia mafanikio ya nchi yetu kwenye runinga unaweza kusema tumepiga hatua kubwa katika kilimo, lakini niwaambieni hali ni mbaya kwa wakulima na nilifikiri serikali inaweza kuwa ya kiungwana na kuelezea matatizo halisi yanayowakabili,” alisema Sugu.

Aliongeza kuwa serikali imetumia gharama kubwa kuelezea mafanikio yasiyokuwepo, na haijulikani fedha zinazotumika kulipia matangazo hayo zinatoka katika mfuko gani.

Sugu alisema hali ilivyo sasa ni wazi CCM wanaomba Mungu 2015 isifike kwa kuwa wanajua mwaka huo ndiyo mwisho wa safari ya muda mrefu waliotumia kuwanyima maendeleo Watanzania

Monday, January 21, 2013

Kigoda urges developing countries to examine environmental standards

Dr Abdallah Kigoda

Developing Countries have been urged to observe deteriorating world environmental standards by minimising the undesired effect resulting from human activities.
The Minister for Industry and Trade, Dr Abdallah Kigoda, made the remarks recently when opening a three-day workshop on Life Cycle Assessment (LCA) and ISO/TC207/Chair Advisory Group (CAG) meeting in Arusha.

A statement issued by Tanzania Bureau of Standard (TBS) quoted Dr Kigoda as saying that for developing countries, environmental standards pose daunting challenges especially when they seek to export products to international markets, adding that the issue of standards comes in as a strong competitive tool.

“Developing countries’ economies are dominated by SMEs which have to grapple with a whole range of rules and regulations for the export market in order to succeed and they have to compete equally with foreign products in which again the issue of standards is vital,” he insisted.

The minister further said the issue of standards, both their formulation and implementation is always important since at the end it touches every single person on earth be it in the developed or developing countries.

He said Tanzania like many other countries in Eastern and Southern Africa is also a member of the World Trade Organization (WTO), which considers international standards as a fair criteria for trade facilitation and for this reason countries should strive to comply with international standards.

For his part TBS acting Director General Leandri Kinabo said a workshop on LCA is a testimony of stakeholders’ commitment and support on the initiative to promote environmental standardisation activities worldwide.

He said the workshop on LCA and the ISO/TC 207 CAG meeting will be a milestone towards sustainable development in the region as well as at the global scale.

LCA is a technique of assessing environmental impacts associated with all the stages of product life, from resource extraction to disposal phase. It is one of the subcommittees under the ISO/TC 207 which deals with environment management matters.

TBS in collaboration with International Organisation for Standardisation through ISO/DEVCO organised the workshop which drew participants from Malawi, Botswana, Burundi, Congo-Brazzaville, Eritrea, Kenya, Lesotho, Mozambique, Namibia, Burundi, Seychelles, Swaziland, Uganda and the host Tanzania.

The CAG meeting which encompasses all leaders of the different subcommittees was established by Technical Committee (TC) 207 of ISO in 1993. It identifies issues, holds preliminary discussions on how to address them, and makes recommendations through the chair of ISO/ TC 207.

The scope of committee is to promote standardisation in the field of environmental management standards and tools in support of sustainable development.

Why our informal sector needs more recognition

The recently published report on Dar es Salaam’s environment, which was initiated by the Environment Division of the Vice President’s office, had more other findings apart from the revelation that the city is seriously polluted. For example what is also unearthed about the informal sector is too important to be taken lightly.

The data in the report show that about 46% of Dar residents are unemployed, while 95% of those working are in the informal sector. A mere 5% of those working are in formal employment.

Given the fact that much is being said about informal employment, most of us today understand what kind of people belong to this category. They include tailors, welders, small traders, food vendors, cobblers, freelance photographers, brick makers, saloon operators and musicians.

The list of informal sector activities which most urban dwellers engage in for the sake of survival is as long as it is interesting.

Informal employment is not just an urban practice. There are all sorts of self employed workers in rural areas, including primary and secondary school leavers who prefer petty trading to farming, and other informal sector undertakings. The rural informal sector seems to grow significantly year after year, as is the case in the urban environment.

What does this kind of scenario imply? To put it simply, all signs indicate that the sector has a unique role to play in the development of underdeveloped countries like ours. Research has established that the contribution of the informal sector to the total national wealth produced and services provided is substantial.

We are told that in Tanzania the sector contributes above 32% to the country’s GDP. The rising youth unemployment is still somehow manageable today, thanks to the informal sector window.

What would be happening in a city like Dar es Salaam or Mwanza today if thousands of youths who are earning a living by offering motorcycle passenger services, running kiosks, selling ‘mitumba’ in open markets etc., were completely idle?

Your guess on the above question is probably as good as mine, but chances are that the rate of urban crime in our midst would have been worse in the absence of the informal sector safety valve.

One would argue that this is another major reason why informal sector activities must be taken seriously, for the good of those who earn an income from it, those who benefit from the services provided, as well as the wider public which enjoy more security as an indirect benefit.

Yet more questions on the informal sector still arise, and beg urgent answers. Is the informal sector really recognised and appreciated? If it is, are adequate efforts being made to improve it in the interest of those engaged in it and society as a whole?

Admittedly, some research on its magnitude and impact to our society has been conducted by several institutions, including the Research on Poverty Alleviation Programme (REPOA), as well as academicians in other local universities. These deserve a pat on the back for taking time to study this vital area involving people determined to employ their energy and determination in order to survive or get out of poverty - if conditions allow.

Recommendations have been given on how to improve the sector but, unfortunately, there are no visible signs to show that it is improving appreciably. Most of those engaged in it are not making much progress and its potential to country’s development is not fully harnessed.

The informal sector continues to experience the same problems they have had for decades. Lack of capital continues to haunt small entrepreneurs, despite the fact that they are not normally asking for a big amount to promote their small businesses. It is due to this poor funding that the International Labour Organization (ILO) consider most informal sector activities as survival one with no future

Some face licensing setbacks when they decide to be more formal in their business approach. Being unnecessarily harassed is part of life for some citizens who depend on informal sector activities for their livelihood. The list is long.

You have those who suggest that may be there is need to have a full ministry to handle and promote the informal sector. Probably they have a point

Ophir Energy agent threatens Zitto Kabwe

Kigoma North Member of Parliament Kabwe Zuberi Zitto has received a demand notice from one Moto Mabanga – commonly known as a fixer -- ordering the legislator to refute allegations he made in Parliament last November.

The demand notice comes about two months since the outspoken MP tabled in Parliament a private motion calling for investigations on some Tanzanians believed to have stashed away billions of shillings abroad -- especially in Switzerland, New Jersey and Cayman Islands as well as Mauritius.

In his private motion, Zitto said he believed some Tanzanians with offshore bank accounts made money from corruption deals and tax evasion.

According to Zitto, the yet unnamed individuals made ill-gotten money through procurement of military hardware, as well as energy and mineral deals.

But Mabanga wasn’t amused when the MP specifically nemed Ophir Energy, an oil exploration firm, as one of the companies that dished out hefty bribes to government officials so that it could be awarded three oil and gas exploration blocks between 2004, 2006 and 2007 -- and that he (Moto Mabanga) was the fixer who facilitated the award of licences for the oil explorations.

In his private motion, Zitto had said that in 2004 an 2005 a prominent South African politician, Tokyo Sexwale, made a business trip to Tanzania bringing with him two friends before he set up a firm known as Ophir Energy Tanzania Limited – which now owns blocks 1, 3 and 4 off the Indian Ocean in the Southern parts of the country.

He further stated that Sexwale was introduced in the country by a Congolese fixer known as Moto Mabanga, but in the demand notice issued to the opposition MP, Mabanga claims that Zitto lied about the man’s nationality.

According to Zitto, in his notice, Mabanga agrees that he indeed facilitated Ophir Energy to get oil exploration licenses in the country but insists that the deals were clean.

Mabanga asserts further that he never bribed any government officials to secure the oil deals in Tanzania.

However, Zitto raises serious doubts, saying, “if indeed he ( Mabanga) did facilitate Ophir Ernegy to strike oil deals in the country why then doen’t he have any shares in any of the oil companies now?”

However, The Guardian on Sunday has not been able see the copy of the demand notice issued to the opposition legislator.

But asked if he would bow down to Mabanga’s demands that he refute the allegations, he brushed it aside and retorted via an email message, “I won’t … this guy’s dealings must be investigated.”

However, Zitto says that the Clerk to the National Assembly had since informed Mabanga’s lawyers about the immunity granted to Tanzanian MPs when discharging their responsilities in the House.

This means that even if Mabanga were to take the matter to court he may hit a snag due to the immunity that Tanzania MPs enjoy.

“What is clear now is that Moto mabanga has confirmed through his demand notice he was a ‘deal sweetner’ for oil blocks in Tanzania. Authorities in Tanzania must investigate the dealings of this person,” Zitto added.

When tabling the private motion last November in Dodoma, Zitto told the House that the Global Financial Integrity (GFI) report of 2008 showed a total of US$8 billion had been stashed in foreign banks abroad between 1970 and 2008.

In June, 2011 the National Bank of Switzeland released details of people holding bank accounts in which it was revealed that Tanzanian individuals stashed away some US $196 million (Sh 314 billion) there.

It was then that the government conduct thorough investigation to establish the identity of Tanzanian personalities holding offshore bank accounts and the amounts preserved.

The government agreed to carry out the assignment and report back to the parliament in April this year.

Moto Mabanga is a well known fixer in Africa who has played many roles in enabling multinational investors to secure ‘smooth’ investments in many countries -- including Tanzania and the Democratic Republic of Congo

Govt given Stiegler`s Gorge power proposal

Implementation of a huge Stiegler’s Gorge Power is becoming a reality after a report and proposal of development of the project being presented to the government at the weekend.

The proposal presented in Dar es Salaam follows a Memorandum of Understanding (MoU) of the long awaited project between the Rufiji Basin Development Authority (RUBADA) and Odebrecht International, a reputable dam construction company in the world six months ago.

“This is a very crucial stage,” the RUBADA Director General, Aloyce Masanja told journalists after receiving the proposal at the event witnessed by top Odebrecht officials, government of Tanzania officials and RUBADA management and members of the Board of Directors.

According to Masanja, the proposal will now give a clear picture on the implementation of the project.

The proposal touches mainly on Power Market Overview, Engineering Studies and Technical Proposal, Preliminary Social-Environmental Evaluation, Key Stakeholders, Stage 1 Risk Analysis and Financial Structure and Proposed Business Plan.

According to Masanja, the project financial requirement is over USD 2 billion, but the figure may vary depending on the technology to be agreed at a later stage.

RUBADA, as a public institution is allowed by law to generate and supply hydroelectric power in the basin and will partner with Odebrecht, a private entity in a form of Public Private Partnership (PPP).

“The project is a multipurpose by nature in the sectors of agriculture, energy, fisheries, flood control and tourism,” he said.

Once completed, the project will have the potential to produce 2100 MW.

The Brazilian company reviewed Feasibility Studies that were earlier done by a Norwegian company, NORCONSULT in 1980 on a similar project but shelved.

The next stage after reviewing the proposal will be designing and doing Environmental Impact Assessment (EIA) while the third stage will be commencement of construction.

For his part, the company’s New Business Director, Fernando Soares said that his company understands the importance of the project, not only for Tanzania but for the whole region.

“We are proud to be part of such important endeavor,” he said.

He said that Odebrecht can provide great value to their clients bringing the necessary engineering, and construction expertise, as well as proven local knowledge and motivation to pursue a well-balanced contractual relationship.

The Chairman of the RUBADA Board of Directors, Prof Raphael Mwalyosi said the Brazilian company has done a great job.

“We are very happy, they have done a great job according to our expectations,” he said.

For his part, the Brazilian Ambassador to Tanzania, Fransisco Luz said that his country is very proud that Tanzania has decided to have a Brazilian experience in the area of dam construction.

It is estimated that the Stiegler’s electricity will be among the least costly in Africa, standing at 4 USD cents per a kilowatt hour, including tax.

“There are more than enough reasons for stakeholders to support this project,” he said.

Odebrecht Company Limited is reputed to be involved in big and successful construction of big hydropower projects in the world. It was involved in construction of the world’s second power project found in Brazil with the capacity to produce 14,000 MW. The whole of the Rufiji Basin has the potential to produce 4,000 MW.

Brazil is said to have transformed her economy for the past 30 years from the low income country to a middle economy today. More than 85 per cent of the country’s power comes from hydro sources.

Its portfolio includes more than 58,500 MW in construction works and services in the power sector.



With more than 65 years of experience, developing projects in 25 countries in 4 continents. Odebrecht which has been working in Africa since 1984 employs more than 20,000 people and has successfully delivered projects in nine countries.

Gesi kuiangusha CCM

• Wabunge wakamia mjadala bungeni

NEEMA ya gesi iliyovumbuliwa Mtwara, na wananchi kutaka ibaki mkoani humo badala ya kuisafirisha kwenda jijini Dar es Salaam, imegeuka laana, na sasa inaweza kukiangusha Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015 baada ya wananchi kuanza kupoteza imani nacho, Tanzania Daima Jumapili limebaini.

Mbunge wa Mtwara Mjini, Hasnain Murji (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Manispaa ya Mikindani, Ali Chinkawene ndio vinara wa kampeni za kupinga gesi hiyo kusafirishwa kwenda Dar es Salaam, na wamejitokeza hadharani kupinga kauli ya Rais Jakaya Kikwete kwamba wakazi wa Mkoa wa Mtwara hawapaswi kuzuia.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa wiki nzima sasa, umebaini kuwa wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara ambao wengi ni wafuasi wa CCM, wamepoteza imani na chama hicho.

Baadhi ya wabunge wa mikoa ya Mtwara na Lindi ambao wako jijini Dar es Salaam wakihudhuria vikao vya kamati za Bunge, waliliambia Tanzania Daima Jumapili kwamba wana-CCM katika mikoa hiyo, wamepoteza imani na chama hicho kutokana na kauli za viongozi wao wanaotumia vitisho kutaka gesi hiyo isafirishwe kwenda Dar es Salaam.

Mbunge wa Mtwara Mjini, Murji, alisema juzi kuwa msimamo wake wa kupingana na Rais Kikwete uko pale pale na kusisitiza kuwa yuko tayari kutimuliwa ubunge kuliko kuachia mradi huo wa gesi upelekwe Dar es Salaam.

Rais Kikwete katika salamu zake za mwaka mpya wa 2013, alisema Mtwara hawana haki kuzuia gesi hiyo kwani rasilimali inayopatikana popote katika nchi hii ni mali ya taifa, na hutumika kwa manufaa ya taifa na si mali ya watu wa pale ilipogundulika au pale shughuli inapofanyika.

Akionesha dhahiri kupingana na Rais Kikwete, Murji alisema serikali inapaswa kujenga mitambo ya kuzalisha umeme mkoani Mtwara badala ya Dar es Salaam.

Alisema: “Tulipoona hali inakuwa tete, niliitisha kikao cha Kamati ya Siasa kujadili nini msimamo wa chama katika hili. Kamati ya Siasa wakasema hawawezi kukisemea chama kwa sababu chama ni wanachama, hivyo nikaitisha kikao cha Halmashauri Kuu ambapo pia tuliwaalika mabalozi wa mitaa.

“Katika kikao hicho, wajumbe walipinga kwa nguvu zote suala la gesi kupelekwa Dar es Salaam. Wakaniambia niseme msimamo wao kuwa hawataki gesi iende Dar es Salaam hadi pale masilahi ya wana-Mtwara yatakapowekwa wazi na serikali na huo ndio msimamo.”

Alisema msimamo huo si wake binafsi, bali ni maazimio ya vikao halali vya chama hicho vinavyowakilisha wanachama, na kwamba historia ya mikoa ya kusini jinsi ilivyonyimwa maendeleo, ilitumiwa na wajumbe kujenga hoja hiyo.

“Wakati sisi hatuna umeme, hakuna aliyefikiria kutuunganisha kwenye gridi ya taifa… Barabara ya kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam miaka 51 ya uhuru sasa haijakamilika. Lakini bomba wanataka kujenga kwa miezi 18. Hivi kuna Watanzania muhimu zaidi ya wengine?” alihoji mbunge huyo.

Duru za siasa zilidokeza kuwa, kauli za viongozi hao ndio msimamo wa wana CCM ambao baadhi wameapa kwamba kama serikali haitabadilisha msimamo wake, chama hicho kisahau kushinda uchaguzi wowote katika mikoa hiyo.

Wabunge wengine ambao waliomba majina yao yahifadhiwe, walisema wanasubiri kwa hamu mkutano wa Bunge unaotarajiwa kuanza hivi karibuni mjini Dodoma, kwani wamepanga kuzungumzia msimamo wao kuhusu suala hilo.

“Sisi wengine mtatusikia Dodoma. Tumeamua kutetea maslahi yetu na kizazi chetu kijacho kwani kusini hatukuwa na cha kuwaachia, lakini leo tuna gesi. Haitoki Mtwara,” alisema mbunge huyo.

Wakati wabunge hao wakiweka msimamo huo, jana na juzi, wananchi wa wilaya zote za Mkoa wa Mtwara walifanya maandamano kwa lengo la kuendeleza kilio chao cha kupinga gesi yao kusafirishwa kwenda jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia suala hilo, Mbunge wa Kigamboni, Dar es Salaam, Faustine Ndungulile, alisema kuwa lilionekana dogo, lakini kadiri muda unavyokwenda, badala ya kuwa kipele linaekelea kuwa jipu na mwisho linaweza kusababisha kansa itakayosambaa mwili mzima.

Alisema: “Nimefuatilia kwa makini kuhusu hoja ya wananchi wa Mtwara, lakini vile vile nimefuatilia kwa makini majibu yanayotolewa na viongozi mbalimbali. Kinachoonekana ni kwamba, viongozi hawajipanga vizuri. Kila mtu anasema lake na kila mtu anafanya lake.

“Kwa mtazamo wangu, katika sakata hili kuna mambo mawili makubwa ya msingi. Mosi, maendeleo duni katika mikoa ya kusini ikiwa ni pamoja na Mtwara. Pili, tatizo la ajira kwa vijana,” alisema Ndungulile.

Mbunge huyo alishauri elimu itolewe kuwashibisha wananchi wa Mtwara jinsi gani watanufaika kimaendeleo na kwa upande wa ajira kwa vijana.

“Kubeza na kutumia hoja za nguvu havitasaidia, badala yake tunahitaji nguvu za hoja zitakazowaelimisha na kuwashawishi wananchi wa Mtwara katika maeneo yafuatayo:

“Ni vigezo gani vilitumika kufikia uamuzi wa kujenga bomba la gesi toka Mtwara hadi Dar es Salaam? Kwanini mtambo wa kuzalisha umeme usijengwe Mtwara na kusambazwa kuja Dar es Salaam? Je, mchanganuo wa gharama ukoje?

“Je, upatikanaji wa gesi hii utakuwa na manufaa gani kwa wananchi wa eneo husika? Je, kutakuwa na viwanda vya kusindika gesi vitakavyojengwa huko Mtwara? Je, mikoa inayozalisha itapata asilimia ya mapato ya gesi inayozalishwa katika eneo hilo?

“Je, ajira ngapi zitakazozalishwa na sekta hii, na asilimia ngapi ya ajira zitakuwa kwa ajili ya wakazi wa eneo hili?”

Mbunge huyo alisema suala hili linapaswa kushughulikiwa mapema na kwa haraka wakati likiwa bado ni kipele kwani likishakuwa jipu au kansa, gharama za kulishughulikia zitakuwa kubwa.

Alisema wananchi kuhoji si dhambi wala uhaini kwani uelewa wao umekua na wanahitaji kushirikishwa na kupewa majibu ya kina

Sunday, January 20, 2013

Wildlife authority to be set up in Nov this year.

The Ministry of Natural Resources and Tourism has reaffirmed government commitments towards establishing a state owned wildlife authority later this year.

Deputy Minister Lazaro Nyalandu disclosed the government plan over the weekend, noting that the authority will come into operation in November.

The minister said upon its establishment, the authority will compliment anti-poaching efforts in the country.

Last year the government acknowledged in the House that it was putting final touches on plans to set up the authority, including earmarking its responsibilities.

He said that a task-force on the establishment of the authority had visited the Tanzania National Parks Authority (TANAPA) and Ngorongoro Conservation Authority (NCA) to learn how they operate.

According to Nyalandu, the task-force was able to review operational structures of the two authorities which would enable it to advise on how the new authority should be set up and operate. Responsibilities and structure of the authority would be ready by September, this year.

He said drafting of a bill on establishment of the authority started in October and was completed by December last year.

He explained further that section 8 of the Wildlife Conservation Act of 2009 gives power to the Minister of Natural Resources and Tourism to establish the wildlife authority.

The envisaged law and eventually the establishment of the authority are expected to increase revenues from forests, national parks and game reserves countrywide

Mtwara to receive 0.3 percent of gas revenues

Gas reserves in the country are already causing domestic upheaval even before actual extraction as residents of Mtwara raise concern that they were being ignored in the development project in favour of Dar es Salaam where the Mtwara extracted gas is to be piped to.

However, addressing journalists yesterday in Arusha, the deputy minister for Energy and Minerals George Simbachawene said: “I don’t see the reason as why people are opposing the project despite the myriads of benefit the country is expected to get…”

The minister added that upon its completion, Mtwara will receive 0.3 percent of the total income that will be collected from the project.

“This is a huge amount of money and there are lots of investors who are waiting for the completion of the project to set up new industries that will employ many of the Mtwara residents…” he affirmed, giving the gas processing plant, cement and fertilizers factories as some of the plants to be built in the region.

According to the minister, the government has all financial resources needed for the project which is to be completed within eight months and a contractor for the project is already on the working site.

“We are interested to see this project start and be completed as soon as possible…” he asserted and asked Tanzanians to be patient.

He described the protest against the project as a politically motivated venture, without any national development agenda, only seeking to cause destruction.

Recently people from Mtwara staged a demonstration against the government’s plan to pump the natural gas to Dar es Salaam.

The protest themed: ‘Natural gas comes before political affiliations’ was organised by eight opposition political parties. Their sympathisers called for the industrial investment to be made in Mtwara and not in Dar es Salaam.

The minister explained that once piped to Dar es Salaam, the natural gas will serve the nation as a whole in a host of development projects including, domestic use as well as to power various production plants and is expected to reduce the cost incurred in importing fuel.

“With these unprecedented climatic changes, natural gas is the most economical and viable way to go…” the minister said noting that upon completion of the project, the country will enjoy about 2,780 megawatts which will have a positive impact on growth.

“It is time we Tanzanians put aside our political differences and built our nation…” the Minister asserted

Mwakyembe to ease Tunduma truck flow.

From right: Trade and Industry minister Dr Abdallah Kigoda, Transport minister Dr Harrison Mwakyembe and Finance Minister Dr William Mgimwa with their host, Tanzania Truck Owners Association Chairman Seif Ali Seif, head to conference room at Ubungo Plaza in Dar es Salaam at the weekend where Dr Mwakyembe was chief guest to the TATOA annual general meeting. (Photo: Khalfan Said)

Transport Minister Dr Harrison Mwakyembe has assured members of the Tanzania Truck Owners Association (TATOA) that he will take action against the slow pace of truck movement at Tunduma border post.

He was responding to remarks made by TATOA chairman, Seif Ali Seif at the annual general meeting of the association held over the weekend in Dar es Salaam.

The TATOA chairman said, truck movement remained one of the major hurdles in the transport sector, saying: “Initially Tunduma border post was designed to serve approximately 40 to 50 trucks per day at that time, but currently more than 400 to 500 trucks are crossing that point daily,” noted Seif.

He further said trucks bound for Zambia and DRC spent more than six days to cross the border due to the heavy traffic and documentation procedures adding that, the infrastructure at Tunduma border post is outdated and overwhelmed by the influx of trucks.

Minister Mwakyembe, who was the chief guest said: “I have received your critical concern on truck dwell time at the border post. I promise that I will make a close follow up in collaboration with other parties to make sure this hitch is sorted out.”

On August 29, last year during the meeting between the minister for Trade and Industries, Dr Abdallah Kigoda and TATOA executive committee, the association proposed opening ten gates at Tunduma border point instead of the current single gate. “Among the 10 gates, we propose that two be for passengers, three for dangerous goods such as petroleum products which by their nature are not allowed to stay for long hours and the remaining five gates for containerized cargo,” TATOA told Dr Kigoda.

Meanwhile, Dr Mwakyembe has praised TATOA for being one of the leading players in the country’s economic development, noting that last year, a total of 40 million tons of cargo were transported, three million being transit cargo to or from the neighboring countries.

“Statistics show that there has been an increase of 400 percent of cargo transported to the neighboring countries from 2006 up to 2012. This achievement is the outcome of the good leadership of TATOA and they deserve member’s recognition and on behalf of the government I would like to congratulate you for your commendable leadership,” applaud Mwakyembe.

Dr Mwakyembe also had promised to take into consideration the stalemate request from TATOA, asking the government to hand over the Kihonda Driving Institute in Morogoro to be run by TATOA. “I have received by two hands your request to run Kihonda driving institute, I personally believe that, it is important to have competent drivers who have attended proper driving training, I will sit with your chairman to see what we can do and also to meet with the concern minister,” he said.

The minister for Industries and Trade Dr Abdallah Kigoda concurred with TATOA that the challenges facing the transport sector need an urgent intervention. “Surely these weighbridges and roadblocks are among the Non Tariff Barriers (NTBs). They should be reduced to increase efficiency and save time in transportation of goods,” he said

Dr Kigoda also advised TATOA to come up with cost-effective analysis if they want their proposal on the abolition of bothersome levies such as city service levy. “We need a win-win situation without harming any side. The government needs tax and you need profit,” he stressed.

For his part, the minister for Finance, Dr William Mgimwa praised TATOA, for their commendable role in the country’s economy. “Statistics show that, transport sector plays a pivotal role in providing employment for our people, as well as being a large contributor in taxes, ” he said.

According to Dr Mgimwa, the transport sector is very important in implementation of the economic development of the country and the government recognised the role of TATOA in this fact.

Meanwhile, TATOA general meeting has elected eight new members to serve as the executive committee,

According to TATOA’s constitution, the executive members have also re-elected the former chairman, Seif Ali Seif to the post, and Angelina Ngalula as the vice chairperson.

Other executive members include Zacharia Hans Pope, Elias Lukumay, Omar Kiponza, Alkarim Dawood, Alistair James and Ally Azim Dewji.