Sunday, September 30, 2012

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama hicho waliohudhuria katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana Karatu mjini Mkoani Arusha. Mnadhimu wa Kambi ya upinzani Bungeni kupitia Chadema na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu akihutumia wananchi na wanachama wa Chama hicho katika mkutano wa hadhara mjini Karatu Mkoani Arusha.Karatu Mjini Leo 30-09-2012 (4 photos)

No comments:

Post a Comment