Ripoti ya CAG kuhusu sare za Jeshi ,Kurasa No. 310
Moja ya maelezo ya CAG.
" Kukosekana kwa nyaraka za kuthibitisha uletaji wa mzigo. Niliomba Hati ya kupokelea Shehena ya Mzigo Bandarini (Bill of Lading), Hati ya Madai kutoka kwa Mtengenezaji (Commercial Invoice), Hati ya Mzigo ulipotoka (Certificate of Origin), orodha za mali zilizopo kwenye meli (Packing List) na cheti cha ukaguzi wa bidhaa (Inspection Certificate) kutoka kwa Mzabuni Daissy General Traders kwa ajili ya kujiridhisha kama bidhaa husika zililetwa nchini. Hata hivyo, Mzabuni alishindwa kuwasilisha nyaraka hizo.
Aidha, nilipitia Mfumo wa Forodha (TANCIS)
wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na kubaini kuwa hapakuwa na shehena yoyote kutoka kwa Mzabuni Daissy General Traders mwezi Novemba 2015. d) Vilevile, nilifanya mahojiano na Maofisa wa Bohari kuu ya Jeshi la Polisi na kubaini hakukuwa na Sare zozote zilizoletwa na Mzabuni Daisy General Traders mwezi Novemba 2015. Hivyo, Serikali imepata hasara kubwa kwa kufanya malipo ya Sare za Polisi ambazo hazikuletwa na Mzabuni. Kuhusu suala hili, nashauri Mzabuni Daissy General Traders arejeshe kiasi alicholipwa kwa kutoleta Sare za Polisi na hatua stahiki za kinidhamu na kisheria zichukuliwe kwa Maofisa wote wa Jeshi la Polisi kwa kuisababishia Serikali hasara. "
Search This Blog
Friday, April 26, 2019
SIKU YA HASARA(DAY OF LOSS)
" DAY OF LOSS"
---SIKU YA HASARA---
1) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiuwawawa ( state death).
2. Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo wazanzibar walipoteza mamlaka ( sovereignty) ya nchi yao.
3).Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza uraia ( citizenship) wao wa Zanzibar.
4). Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar alikoma ( cease) kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
5) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wanzanzibar walipoteza kiti chao Umoja wa MATAIFA.
--ZANZIBAR IMETOKA KUWA DOLA HADI KUWA MKOA--
-- UZANZIBAR UMETOKA KATIKA HADHI YA URAIA HADI KUWA UKAAZI ( Raia wa Zanzibar hadi Mzanzibari mkaazi)
--Kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi Kamanda Mkuu wa Idara maalumu--
-- Kutoka Rais wa Dola ya Zanzibar hadi Waziri asiye na Wizara maalumu--
--ZANZIBAR kutoka mwanachama wa Umoja wa Mataifa kukataliwa kujiunga na FIFA
TAREHE 24/4/1964 ni SIKU YA HASARA (DAY OF LOSS) KWA WAZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAIFA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOCHEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA DOLA YAO JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA URAIA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAMBULISHO WA DOLA YAO
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KILICHOWEZA--KINACHOWEZA AU KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIYOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/4/1964
SIKU YA MAOMBOLEZI
---SIKU YA HASARA---
1) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikiuwawawa ( state death).
2. Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo wazanzibar walipoteza mamlaka ( sovereignty) ya nchi yao.
3).Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wazanzibar walipoteza uraia ( citizenship) wao wa Zanzibar.
4). Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar alikoma ( cease) kuwa Amiri Jeshi Mkuu.
5) Tarehe 26/4/1964 ndio siku ambayo Wanzanzibar walipoteza kiti chao Umoja wa MATAIFA.
--ZANZIBAR IMETOKA KUWA DOLA HADI KUWA MKOA--
-- UZANZIBAR UMETOKA KATIKA HADHI YA URAIA HADI KUWA UKAAZI ( Raia wa Zanzibar hadi Mzanzibari mkaazi)
--Kutoka Amiri Jeshi Mkuu hadi Kamanda Mkuu wa Idara maalumu--
-- Kutoka Rais wa Dola ya Zanzibar hadi Waziri asiye na Wizara maalumu--
--ZANZIBAR kutoka mwanachama wa Umoja wa Mataifa kukataliwa kujiunga na FIFA
TAREHE 24/4/1964 ni SIKU YA HASARA (DAY OF LOSS) KWA WAZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAIFA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOCHEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA DOLA YAO JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA URAIA WAO WA ZANZIBAR
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KINACHOWEZA KUFIDIA WAZANZIBAR KUPOTEZA UTAMBULISHO WA DOLA YAO
HAKUNA KITU CHOCHOTE DUNIANI KILICHOWEZA--KINACHOWEZA AU KITAKACHOWEZA KUFIDIA HASARA WALIYOIPATA WAZANZIBAR TAREHE 26/4/1964
SIKU YA MAOMBOLEZI
NCHI TAKATIFU (HOLLY LAND)
Nchi Takatifu ( Holly Land)
Kabla hujawa kama ulivyo tunaambiwa alikuwepo Mungu tu au kwa jina unaloweza kumwita kwa mazoea yako. Mungu ndiye Baba wa wote, aliye juu ya yote, aliye katika yote, na ndani ya yote. Bila yeye hakuna kinachokuwa kama kilivyo. Imeandikwa alifinyanga udongo na kupuliza ndani yake roho wa uhai, kisha binadamu akawa nafsi hai. Mungu aliye roho anaingia katika nyumba aliyoifinyanga mwenyewe. Tukiondoa roho wa Mungu aletaye uhai ndani yako wewe ni nchi, wewe ni udongo. Kwa Mungu aliye mtakatifu sana kuamua kuacha utukufu wake na kujihengea nyumba ya udongo na kisha kukaa huko, wewe umefanyika nchi Takatifu ( Holly Land), give thanks to God. Mpe utukufu Mungu wewe ni wa kipekee you are gods na kati yenu hakuna aliye zaidi ya mwingine.
Acha kuheshimu au kuhangaika kutafuta nchi takatifu, wewe ndiye nchi takatifu. Acha kutafuta mahala patakatifu pa kuhiji wewe ndiye mahala penyewe alipopachagua Mungu.. hiji ndani yako na endelea kumtolea Mungu Dhabihu za shukrani. Utu wako ndiyo maskani yake Mungu ambayo yanapendeza kama nini? Je unayatamani makao ya Bwana? Ingia rohoni mwako kutana Naye maana imeandikwa je hamjui kwamba ninyi ni hekalu la roho mtakatifu. Mungu ni roho na ajili yake wewe upo na kwa njia yake ukafanyika kuwa kama ulivyo. Wewe ni maskani matakatifu ya Mungu mwenyewe. Acha kukimbiakimbia kumtafuta kule na kule, yeye yupo ndani ya nyumba udongo ambayo ni wewe hapo. Jifunze kumtafuta ndani yako, yupo na hayupo mbali.
Wewe ndiye Taifa takatifu la Mungu na maskani halisi ya Mungu. Wewe ndiye Mungu aliyevaa mwili unaokufa, mwili unaochakaa, na mwenye kusambaratika. Wewe ni taifa la Mungu, ndani yako ni makao halisi ya Mungu. Ukitambua hilo utaanza kuwa huru na mafundisho ya yuko kule Arusha, Abuja, Mwanza, Mwenge au popote, wewe ndiye maskani yake mtazame kisha anza kufurahi pamoja naye. Anakupenda. Acha kutafuta fedha nyingi kumwendea Jerusalem au Oman au popote, huko hayuko bali huyo unayemsafirisha na anayeusafirisha mwili wako mpaka huko ndiye. Yupo ndani yako. Wewe ni Taifa takatifu, tambua hivyo na shangilia wewe si mnyonge hivyo usiruhusu unyonge tena.
Kabla hujawa kama ulivyo tunaambiwa alikuwepo Mungu tu au kwa jina unaloweza kumwita kwa mazoea yako. Mungu ndiye Baba wa wote, aliye juu ya yote, aliye katika yote, na ndani ya yote. Bila yeye hakuna kinachokuwa kama kilivyo. Imeandikwa alifinyanga udongo na kupuliza ndani yake roho wa uhai, kisha binadamu akawa nafsi hai. Mungu aliye roho anaingia katika nyumba aliyoifinyanga mwenyewe. Tukiondoa roho wa Mungu aletaye uhai ndani yako wewe ni nchi, wewe ni udongo. Kwa Mungu aliye mtakatifu sana kuamua kuacha utukufu wake na kujihengea nyumba ya udongo na kisha kukaa huko, wewe umefanyika nchi Takatifu ( Holly Land), give thanks to God. Mpe utukufu Mungu wewe ni wa kipekee you are gods na kati yenu hakuna aliye zaidi ya mwingine.
Acha kuheshimu au kuhangaika kutafuta nchi takatifu, wewe ndiye nchi takatifu. Acha kutafuta mahala patakatifu pa kuhiji wewe ndiye mahala penyewe alipopachagua Mungu.. hiji ndani yako na endelea kumtolea Mungu Dhabihu za shukrani. Utu wako ndiyo maskani yake Mungu ambayo yanapendeza kama nini? Je unayatamani makao ya Bwana? Ingia rohoni mwako kutana Naye maana imeandikwa je hamjui kwamba ninyi ni hekalu la roho mtakatifu. Mungu ni roho na ajili yake wewe upo na kwa njia yake ukafanyika kuwa kama ulivyo. Wewe ni maskani matakatifu ya Mungu mwenyewe. Acha kukimbiakimbia kumtafuta kule na kule, yeye yupo ndani ya nyumba udongo ambayo ni wewe hapo. Jifunze kumtafuta ndani yako, yupo na hayupo mbali.
Wewe ndiye Taifa takatifu la Mungu na maskani halisi ya Mungu. Wewe ndiye Mungu aliyevaa mwili unaokufa, mwili unaochakaa, na mwenye kusambaratika. Wewe ni taifa la Mungu, ndani yako ni makao halisi ya Mungu. Ukitambua hilo utaanza kuwa huru na mafundisho ya yuko kule Arusha, Abuja, Mwanza, Mwenge au popote, wewe ndiye maskani yake mtazame kisha anza kufurahi pamoja naye. Anakupenda. Acha kutafuta fedha nyingi kumwendea Jerusalem au Oman au popote, huko hayuko bali huyo unayemsafirisha na anayeusafirisha mwili wako mpaka huko ndiye. Yupo ndani yako. Wewe ni Taifa takatifu, tambua hivyo na shangilia wewe si mnyonge hivyo usiruhusu unyonge tena.
NCHI TAKATIFU (HOLLY LAND)
Nchi Takatifu ( Holly Land)
Kabla hujawa kama ulivyo tunaambiwa alikuwepo Mungu tu au kwa jina unaloweza kumwita kwa mazoea yako. Mungu ndiye Baba wa wote, aliye juu ya yote, aliye katika yote, na ndani ya yote. Bila yeye hakuna kinachokuwa kama kilivyo. Imeandikwa alifinyanga udongo na kupuliza ndani yake roho wa uhai, kisha binadamu akawa nafsi hai. Mungu aliye roho anaingia katika nyumba aliyoifinyanga mwenyewe. Tukiondoa roho wa Mungu aletaye uhai ndani yako wewe ni nchi, wewe ni udongo. Kwa Mungu aliye mtakatifu sana kuamua kuacha utukufu wake na kujihengea nyumba ya udongo na kisha kukaa huko, wewe umefanyika nchi Takatifu ( Holly Land), give thanks to God. Mpe utukufu Mungu wewe ni wa kipekee you are gods na kati yenu hakuna aliye zaidi ya mwingine.
Acha kuheshimu au kuhangaika kutafuta nchi takatifu, wewe ndiye nchi takatifu. Acha kutafuta mahala patakatifu pa kuhiji wewe ndiye mahala penyewe alipopachagua Mungu.. hiji ndani yako na endelea kumtolea Mungu Dhabihu za shukrani. Utu wako ndiyo maskani yake Mungu ambayo yanapendeza kama nini? Je unayatamani makao ya Bwana? Ingia rohoni mwako kutana Naye maana imeandikwa je hamjui kwamba ninyi ni hekalu la roho mtakatifu. Mungu ni roho na ajili yake wewe upo na kwa njia yake ukafanyika kuwa kama ulivyo. Wewe ni maskani matakatifu ya Mungu mwenyewe. Acha kukimbiakimbia kumtafuta kule na kule, yeye yupo ndani ya nyumba udongo ambayo ni wewe hapo. Jifunze kumtafuta ndani yako, yupo na hayupo mbali.
Wewe ndiye Taifa takatifu la Mungu na maskani halisi ya Mungu. Wewe ndiye Mungu aliyevaa mwili unaokufa, mwili unaochakaa, na mwenye kusambaratika. Wewe ni taifa la Mungu, ndani yako ni makao halisi ya Mungu. Ukitambua hilo utaanza kuwa huru na mafundisho ya yuko kule Arusha, Abuja, Mwanza, Mwenge au popote, wewe ndiye maskani yake mtazame kisha anza kufurahi pamoja naye. Anakupenda. Acha kutafuta fedha nyingi kumwendea Jerusalem au Oman au popote, huko hayuko bali huyo unayemsafirisha na anayeusafirisha mwili wako mpaka huko ndiye. Yupo ndani yako. Wewe ni Taifa takatifu, tambua hivyo na shangilia wewe si mnyonge hivyo usiruhusu unyonge tena.
Kabla hujawa kama ulivyo tunaambiwa alikuwepo Mungu tu au kwa jina unaloweza kumwita kwa mazoea yako. Mungu ndiye Baba wa wote, aliye juu ya yote, aliye katika yote, na ndani ya yote. Bila yeye hakuna kinachokuwa kama kilivyo. Imeandikwa alifinyanga udongo na kupuliza ndani yake roho wa uhai, kisha binadamu akawa nafsi hai. Mungu aliye roho anaingia katika nyumba aliyoifinyanga mwenyewe. Tukiondoa roho wa Mungu aletaye uhai ndani yako wewe ni nchi, wewe ni udongo. Kwa Mungu aliye mtakatifu sana kuamua kuacha utukufu wake na kujihengea nyumba ya udongo na kisha kukaa huko, wewe umefanyika nchi Takatifu ( Holly Land), give thanks to God. Mpe utukufu Mungu wewe ni wa kipekee you are gods na kati yenu hakuna aliye zaidi ya mwingine.
Acha kuheshimu au kuhangaika kutafuta nchi takatifu, wewe ndiye nchi takatifu. Acha kutafuta mahala patakatifu pa kuhiji wewe ndiye mahala penyewe alipopachagua Mungu.. hiji ndani yako na endelea kumtolea Mungu Dhabihu za shukrani. Utu wako ndiyo maskani yake Mungu ambayo yanapendeza kama nini? Je unayatamani makao ya Bwana? Ingia rohoni mwako kutana Naye maana imeandikwa je hamjui kwamba ninyi ni hekalu la roho mtakatifu. Mungu ni roho na ajili yake wewe upo na kwa njia yake ukafanyika kuwa kama ulivyo. Wewe ni maskani matakatifu ya Mungu mwenyewe. Acha kukimbiakimbia kumtafuta kule na kule, yeye yupo ndani ya nyumba udongo ambayo ni wewe hapo. Jifunze kumtafuta ndani yako, yupo na hayupo mbali.
Wewe ndiye Taifa takatifu la Mungu na maskani halisi ya Mungu. Wewe ndiye Mungu aliyevaa mwili unaokufa, mwili unaochakaa, na mwenye kusambaratika. Wewe ni taifa la Mungu, ndani yako ni makao halisi ya Mungu. Ukitambua hilo utaanza kuwa huru na mafundisho ya yuko kule Arusha, Abuja, Mwanza, Mwenge au popote, wewe ndiye maskani yake mtazame kisha anza kufurahi pamoja naye. Anakupenda. Acha kutafuta fedha nyingi kumwendea Jerusalem au Oman au popote, huko hayuko bali huyo unayemsafirisha na anayeusafirisha mwili wako mpaka huko ndiye. Yupo ndani yako. Wewe ni Taifa takatifu, tambua hivyo na shangilia wewe si mnyonge hivyo usiruhusu unyonge tena.
Kimbunga Kenneth( Rainstorms)
JINSI YA KUJIOKOA NA KIMBUNGA (RAINSTORMS)
Kama tulivyokwisha sikia kwenye chombo chetu cha Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania kuna maeneo ambayo yatakumbwa na kimbunga kilichopewa jina Keneth mapema kuanzia siku ya kesho japo hatujajuwa muda rasmi lakini kinaweza kikawasili hata kuanzia leo usiku.
Tumeona ni jambo jema ku share nanyi jambo hili ili kuokoa maisha na kupunguza madhara yatakayo jitokeza kule kwa wenzetu kusini mwa Tanzania.
Kiukweli kwa mazingira na hali ya kimaisha kwa sisi waTanzania sio rahisi kujikoa na majanga haya ya vimbunga kutokana na aina ya nyumba zetu pamoja na kukosa mazingira au maeneo ya Emergency kwa matukio kama haya au kuhama kwa muda.
JINSI YA KUJIOKOA
Zaidi ya kuhama eneo la tukio Huwezi kuzuia kimbunga hata siku moja na madhara yake huwa ni makubwa sana lakini vipo vitu vichache sana ambavyo ukivifuata vinaweza kukupunguzia madhara ki mwili.
Kimbunga kitawasili na Mvua kali sana yenye upepo mkali kwahivyo baada ya kuona hivyo fuata mambo haya yafuatayo.
1. Kitu cha kwanza usi panic tuliza moyo wako na usiwe na Papara na pia punguza woga.
2. Funga milango yote ya nyumba yako pamoja na madirisha yote usiache wazi hata sehemu moja.
3. Usikae karibu na Madirisha au Milango kwasababu maeneo hayo hayatakuwa si salama kipindi upepo huo mkali unapita.
4. Tunashauri wazazi mkae karibu na watoto wenu kipindi chote ambacho upepo utakuwa unapita.
5. Kama unaishi kwenye nyumba ambayo unahisi haitaweza kuhimili upepo mkali kwa siku ya leo omba hifadhi kwenye nyumba ambayo kuna uwezekano ikahimili upepo mkali.
6. Kuna uwezekano upepo ukaona umeizidi nyumba yako na sasa unataka kuangusha nyumba. Usitoke na kukimbia hovyo. Wewe na watu wako ingieni chini ya kitu kigumu kama vile meza kwasababu utakapo toka nje huku upepo mkali ukiwa unavuma madhara yake huenda yakawa makubwa kwasababu upepo utapeperusha Mabati, miti na vitu vingine ambavyo vikikukuta vinawedha kuleta madhara makubwa.
7. Kuna uwezekano kimbunga kikaleta maji mengi sana na kuanza kujaa ndani. Ikitokea hali hii basi mtalazimika kutoka ndani kwa usalama. Shikaneni mikono na hakikisheni mnatembea pembezo pembezo msitembee maeneo ya wazi kutokana na vitu vitavyokuwa vinapeperushwa vikiwakuta itakuwa ni madhara makubwa. Tembeeni kwa usalama na kwa haraka muwahi sehemu ambayo mtaona itakuwa na usalama.
8. Kama kimbunga kitajaza maji mengi basi ni vema yakaandaliwa madumu matupu kisha yafungwe vizuri yasipitishe hewa yatasaidia kuelea kwa wale ambao watakuwa hawajiwezi kwa kuogelea haswa watoto na wazee.
Mambo hayo kadhaa nimejaribu kupitia katika website mbalimbali kusoma kisha kuwaleteeni hapa.
Kusoma kwa undani zaidi kuhusu kumbunga hiki bonyeza Link hiyo hapo chini.
https://bbc.in/2ZvoKEn
OMBI
Tunaomba ku share post hii mara nyingi uwezavyo iwafikie wale wote watakaoweza kuiona kwasababu madhara ya kimbunga IDAI kilicho tokea nchi za jirani kusini mwa Tanzania wiki kadhaa zilizopita yalikuwa ni makubwa saana na tuliondokewa na ndugu zetu 960 na zaidi Hakuna mtu aliejuwa kuwa madhara yatakuwa makubwa kiasi kile na mpaka sasa Takribani watu Milioni 3 bado wanahitaji misaada ya kibiinaadamu
Unakaribishwa kuchangia chochote kile kwenye comment kwaajili ya ushauri kwa wenzetu ambao watakumbwa na Janga hilo.
Kama tulivyokwisha sikia kwenye chombo chetu cha Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania kuna maeneo ambayo yatakumbwa na kimbunga kilichopewa jina Keneth mapema kuanzia siku ya kesho japo hatujajuwa muda rasmi lakini kinaweza kikawasili hata kuanzia leo usiku.
Tumeona ni jambo jema ku share nanyi jambo hili ili kuokoa maisha na kupunguza madhara yatakayo jitokeza kule kwa wenzetu kusini mwa Tanzania.
Kiukweli kwa mazingira na hali ya kimaisha kwa sisi waTanzania sio rahisi kujikoa na majanga haya ya vimbunga kutokana na aina ya nyumba zetu pamoja na kukosa mazingira au maeneo ya Emergency kwa matukio kama haya au kuhama kwa muda.
JINSI YA KUJIOKOA
Zaidi ya kuhama eneo la tukio Huwezi kuzuia kimbunga hata siku moja na madhara yake huwa ni makubwa sana lakini vipo vitu vichache sana ambavyo ukivifuata vinaweza kukupunguzia madhara ki mwili.
Kimbunga kitawasili na Mvua kali sana yenye upepo mkali kwahivyo baada ya kuona hivyo fuata mambo haya yafuatayo.
1. Kitu cha kwanza usi panic tuliza moyo wako na usiwe na Papara na pia punguza woga.
2. Funga milango yote ya nyumba yako pamoja na madirisha yote usiache wazi hata sehemu moja.
3. Usikae karibu na Madirisha au Milango kwasababu maeneo hayo hayatakuwa si salama kipindi upepo huo mkali unapita.
4. Tunashauri wazazi mkae karibu na watoto wenu kipindi chote ambacho upepo utakuwa unapita.
5. Kama unaishi kwenye nyumba ambayo unahisi haitaweza kuhimili upepo mkali kwa siku ya leo omba hifadhi kwenye nyumba ambayo kuna uwezekano ikahimili upepo mkali.
6. Kuna uwezekano upepo ukaona umeizidi nyumba yako na sasa unataka kuangusha nyumba. Usitoke na kukimbia hovyo. Wewe na watu wako ingieni chini ya kitu kigumu kama vile meza kwasababu utakapo toka nje huku upepo mkali ukiwa unavuma madhara yake huenda yakawa makubwa kwasababu upepo utapeperusha Mabati, miti na vitu vingine ambavyo vikikukuta vinawedha kuleta madhara makubwa.
7. Kuna uwezekano kimbunga kikaleta maji mengi sana na kuanza kujaa ndani. Ikitokea hali hii basi mtalazimika kutoka ndani kwa usalama. Shikaneni mikono na hakikisheni mnatembea pembezo pembezo msitembee maeneo ya wazi kutokana na vitu vitavyokuwa vinapeperushwa vikiwakuta itakuwa ni madhara makubwa. Tembeeni kwa usalama na kwa haraka muwahi sehemu ambayo mtaona itakuwa na usalama.
8. Kama kimbunga kitajaza maji mengi basi ni vema yakaandaliwa madumu matupu kisha yafungwe vizuri yasipitishe hewa yatasaidia kuelea kwa wale ambao watakuwa hawajiwezi kwa kuogelea haswa watoto na wazee.
Mambo hayo kadhaa nimejaribu kupitia katika website mbalimbali kusoma kisha kuwaleteeni hapa.
Kusoma kwa undani zaidi kuhusu kumbunga hiki bonyeza Link hiyo hapo chini.
https://bbc.in/2ZvoKEn
OMBI
Tunaomba ku share post hii mara nyingi uwezavyo iwafikie wale wote watakaoweza kuiona kwasababu madhara ya kimbunga IDAI kilicho tokea nchi za jirani kusini mwa Tanzania wiki kadhaa zilizopita yalikuwa ni makubwa saana na tuliondokewa na ndugu zetu 960 na zaidi Hakuna mtu aliejuwa kuwa madhara yatakuwa makubwa kiasi kile na mpaka sasa Takribani watu Milioni 3 bado wanahitaji misaada ya kibiinaadamu
Unakaribishwa kuchangia chochote kile kwenye comment kwaajili ya ushauri kwa wenzetu ambao watakumbwa na Janga hilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)