DIDDY APATA AJALI
Mitandao kadhaa ukiwemo wa TMZ imeripoti kutokea kwa ajali ya gari ikimhusisha Bad Boy Diddy maeneo ya Bevery Hills

maaskari waliofika eneo la tukio walisema kuwa kila mmoja aliehusika katika ajali alionekana kulalamika kuumia akiwemo Diddy, dereva wake na dereva wa gari lingine, na kudai kuwa bado haijajulikana wameumia kiasi gani lakini hakuna hata mmoja aliepelekwa hospitali licha ya ambulance kufika eneo la tukio
No comments:
Post a Comment