Search This Blog

Monday, January 7, 2013

  • "Maliasili ya nchi kama madini, misitu, Mafuta na Gesi Asilia itakuwa milki ya wananchi na serikali itaweka utaratibu wa kuvuna utajiri wa nchi baada ya ridhaa ya wananchi wa eneo husika 'right of prior informed consent'" hili ndio pendekezo la Chadema kwenye Katiba mpya. Huu ndio mwarobaini dhidi ya uporaji wa utajiri wa nchi

No comments:

Post a Comment