HUYU NDIO MTOTO WA CHINEDU MUIGIZAJI MAARUFU KUTOKA NIGERIA.
Huyu ndio mtoto wa muigizaji maarufu kutoka Nigeria anaejulikana kama Chinedu (AKI), na mtoto wake anaeitwa Wololo. duuuuhhh!!!!!!! chinedu sasa anaanza kuitwaaa baba.Tunamtakia malezi bora na mafunzo mazuri kwa mtoto ake.
No comments:
Post a Comment