Me
huu msemo wa HIPHOP HAIUZI huwa hauniingii akilini hata
kidogo,inakuwaje huo mziki mnaosema unauza wa kina DIAMOND,BOB
JUNIOR,BARNABA,DIMPOZ,etc kwenye show wanakalishwa vibaya na mziki
unaoitwa hauuzi wa kina FID,ROMA,JOH,STAMINA,FA,etc.Au mauzo yepi yanayozungumziwa??
No comments:
Post a Comment